MWONGOZO WA UKURASA WA BIASHARA FACEBOOK
Kitabu cha MWONGOZO WA UKURASA WA BIASHARA FACEBOOK kitakusaidia wewe mfanyabiashara unayeanza kutumia mitandao ya kijamii hususani Facebook:
1. Hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza kitaalamu ukurasa wa biashara (Facebook Businesness Page) kwa kutumia simu au kompyuta.
2. Jinsi ya kuanza kutumia ukurasa wako kuendesha biashara katika simu na kompyuta.
3. Kufanya maboresho kama kubadili jina, username, tamplet ya ukurasa, kuunganisha ukurasa za sasa na zamani.
3. Jinsi ya kurusha matangazo Facebook kwa kulipia kupitia simu na kompyuta.
(LIPIA KWA PAYPALL AU TUMA UJUMBE 0682937214 UPATE NAKALA YAKO KWA GHARAMA YA TSH. 9500 TU)
4. Jinsi ya kuandaa business plan ya biashara yako na undeshaji katika ukurasa wa Facebook.
5. Mambo ya kuzingatia na kuepuka ili ukurasa wako uweze kustawi na kukuletea wateja.
Hayo ni kwa uchache tu, kitabu kina sura 14, kurasa 193, kimefafanua mambo yote ya msingi yanayohitajika katika ukurasa.
LIPIA KWA PAYPAL AU TUMA UJUMBE 0682937214 TUKUTUMIE NAKALA YAKO, UTALIPIA TSH 9500)
Nitakupa ofa ya kukusaidia kutengeneza ukurasa utakaoanza na likes hadi 5000 bure.
Pia nitakusaidia kutatua changamoto unazokumbana nazo unapotumia Facebook kuendesha biashara bure kwa siku 14.
USIACHE NAKALA YAKO, PIGA/TUMA SMS KWENDA 0682937214 UPATE OFA NA NAKALA YAKO LEO HII.